Follow a year in the life of the Twiga Stars, the Tanzanian women’s national football team, as they prepare for their biggest competition, and fight to prove that “wanawake wanaweza”.
“Nilimfahamu marehemu Regia kama kijana mwanaharakati na mpambanaji asiyechoka kupigania kile anachokiamini. Kipindi hiki harakati nyingi alizokuwa akizifanya, alizifanya kupitia harakati za kudai haki za msingi za vijana wa Tanzania, hususan haki za makundi maalumu wakiwamo watu wenye ulemavu, watoto, wanawake na vijana kwa ujumla.”
Sara Lundström aka SaRaha ni msanii anayefanya kazi zake kwenye studio za Usanii Production.
Upi ni wakati muafaka wa kutumikia wana wa nchi! Ujanani au uzeeni?
The Mo Ibrahim Prize is not going to solve Africa’s leadership and good governance gap, but it is a start. Why shouldn’t we embrace it?




