Wakazi wa Mburahati wanakwambia “Dar ni Sisi”.
Lazima kaya zetu zijengwe na upendo, uzalendo na heshima ili taifa liwe na watu wa aina hiyo.
Maanisha! Foundation’s Managing Director, Andrew Mahiga is due to run the half Kili Marathon (21.1km) in Moshi, Kilimanjaro, this Sunday (26th February) as he raises money for a van so that Maanisha! can reach more students in schools nationwide.
Follow a year in the life of the Twiga Stars, the Tanzanian women’s national football team, as they prepare for their biggest competition, and fight to prove that “wanawake wanaweza”.
“Nilimfahamu marehemu Regia kama kijana mwanaharakati na mpambanaji asiyechoka kupigania kile anachokiamini. Kipindi hiki harakati nyingi alizokuwa akizifanya, alizifanya kupitia harakati za kudai haki za msingi za vijana wa Tanzania, hususan haki za makundi maalumu wakiwamo watu wenye ulemavu, watoto, wanawake na vijana kwa ujumla.”




