Fid Q’s playlist – Bongo Hip Hop

On August 12, 2010, in Audio, English, Swahili, by bahati

Huyu ndio Fid Q a.k.a Ngosha, star wa Bongo Hip Hop. Album yake ya Propaganda bado inafanya vizuri kutokana na nyimbo zilizo rekodiwa kwa ubunifu na mashairi yenye vina vya kina.

Karibu usikilize playlist ya baadhi ya nyimbo zake, halafu utaelewa kwanini yeye ni star wa Bongo Hip Hop…


Chanzo: Blog ya Fid Q

Share on Twitter
Tagged with:  

12 Responses to “Fid Q’s playlist – Bongo Hip Hop”

  1. Happy Birthday FidQ! Endelea na kazi nzuri. Tuko nyuma yako. January

  2. Jack D says:

    Happy birthday boss… keep doing what you do.

  3. SN says:

    Ebwanae, mzuka! Uzidishiwe ili uendelee kutuletea mistari mikali ZAIDI.

    Happy birthday!

  4. Rapha says:

    “kuongea sio kusema na kufumbua macho sio kuamka”…Happy birthday mzaz, endelea kuwaweka shule!!

  5. Fid Q says:

    Asanteni sana jamani… leo nimeishiwa Maneno kabisa jamani, wanasema ‘GRATITUDE SEIZES THE TONGUE’ LOL

  6. joji says:

    Bofya hapa kununua album ya FidQ mtandaoni. Heri ya siku yako Fid Q

  7. Dr.Mallaba says:

    Happy b’day mzee wa Hip-hop!

  8. SN says:

    Haya, kamchezo kidogo.. Mistari ipi ya Fid Q mnaipenda? Mi’ yangu hii hapa:

    “Nina mistari mingi kuliko wake wa Mswaaaati!”

    “Simba kumla mtu ni habari; mtu kumla simba ni habari ya kusisimua!”… Sio mchezo

  9. Dr.Mallaba says:

    nimesikiliza wimbo wako wa ” NI HAYO TU” sio siri umetulia jamaa anashuka mistari sio mchezo…lol

  10. Bahati M says:

    vina vya kwenye Mwanza Mwanza si mchezo, inabidi utulie usikilize kwa makini, manake utulivu ukipepesuka kidogo tu, utakutwa umeachwa na kasi falsafa ya humo…hah!!

  11. Anonymous says:

    Ebwana mzaz propaganda inatisha vibaya yani dizain kama wanatafuta usawa then wana practice segregate wadogo kama chawa ndani ya mashati.ebwana shangwe kaka its me swila

  12. Whats up fid q its me super under ground mwenye haso za game siogopi kupigwa na wa2 mia nilisha pigwa na dunia halafu hata sehemu moja cku umia ni mim mfalme wa ryme nitakayefuata badala ya fid naongea kwamba hakuna urudishaji wa muda bali kuma mambo yanaendelea .wanamuita popo mnyama eti sababu anazaa.mijadala icyo nafaida,wanapoteza fedha.wamesahau hautungoji muda,ngoja niwafunze kutafuta fedha.wameloose like ahmada,wanaopen kiwa wanajiita mcroza.pia tumbo ni tumbo huwez lilsha kwa operation.am a counter like iwe ya mkoni au ukutani.ukitaka kunipata call me 0717703276.ndoto zangu one day nipige game na ngosha nahic litakuja kuwa bonge la jigoma

Leave a Reply