Tunapenda na tunacheza ngoma

Leo, Ijumaa ya tarehe 26 Novemba 2010, nimepata taarifa kuwa Nyumba ya Sanaa inabomolewa.

Kama huamini…

Picha na F. Halla

Wenye taarifa zaidi msisite kutufahamisha. Ukizingatia historia nzito inayoambatana na sehemu ile, je, kuna mipango yoyote mbadala? Nitaishia hapa kwasababu sijui kwa undani suala zima; maana’ke nikianza “kitiririka” naweza nikawa mwehu.

Kwenye utafiti wangu kufuatilia hili jambo, nimekutana na filamu ifuatayo ambayo ninakushauri utulie kisha uiangalie:

Hiki ni kipande tu cha documentary inayoitwa “Msanii: Artists of Bagamoyo.” Nikiipata nitaiweka hapa.

Previous ArticleNext Article
Steven was born and raised in Dar es Salaam, and moved to Germany for his studies. He graduated with a BSc. in Physics (Jacobs University Bremen), and then a MSc. in Engineering Physics (Technische Universität München). Steven is currently pursuing a PhD in Physics (growth of coatings/multilayers for next generation lithography reflective optics) in the Netherlands. He’s thinking about starting his own business in a few years; something high-tech related. At Vijana FM, Steven discusses issues critical to youths in Tanzania, music, sport and a host of other angles. He’s also helping Vijana FM with a Swahili translation project.

This post has 2 Comments

2

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Send this to a friend